Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 25:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mtanijengea mahali patakatifu, nami nitakaa* miongoni mwenu.+

  • Mambo ya Walawi 21:10-12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “‘Kuhani mkuu miongoni mwa ndugu zake, aliyetiwa mafuta kichwani+ na kuwekwa rasmi ili avae mavazi ya kuhani,+ anapaswa kutunza nywele zake na hapaswi kurarua mavazi yake.+ 11 Hapaswi kumkaribia mtu yeyote aliyekufa;*+ hapaswi hata kujichafua kwa kumgusa baba yake au mama yake ambaye amekufa. 12 Hapaswi kuondoka mahali patakatifu wala kuchafua mahali patakatifu pa Mungu wake,+ kwa sababu ishara ya wakfu, yale mafuta ya Mungu wake yanayotumiwa kutia mafuta+ yako juu yake. Mimi ni Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki