Mambo ya Walawi 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pia hatatoka nje ya patakatifu wala kupatia unajisi patakatifu pa Mungu wake,+ kwa sababu ishara ya wakfu, yale mafuta ya Mungu wake yanayotumiwa kutia mafuta,+ yako juu yake. Mimi ni Yehova.
12 Pia hatatoka nje ya patakatifu wala kupatia unajisi patakatifu pa Mungu wake,+ kwa sababu ishara ya wakfu, yale mafuta ya Mungu wake yanayotumiwa kutia mafuta,+ yako juu yake. Mimi ni Yehova.