Hesabu 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na Yehova akamwambia Haruni: “Wewe na wana wako na nyumba ya baba yako pamoja nawe mtajibu kwa sababu ya kosa dhidi ya patakatifu,+ na wewe na wana wako pamoja nawe mtajibu kwa sababu ya kosa dhidi ya ukuhani wenu.+
18 Na Yehova akamwambia Haruni: “Wewe na wana wako na nyumba ya baba yako pamoja nawe mtajibu kwa sababu ya kosa dhidi ya patakatifu,+ na wewe na wana wako pamoja nawe mtajibu kwa sababu ya kosa dhidi ya ukuhani wenu.+