Hesabu 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha Yehova akamwambia Haruni, “Wewe na wana wako na ukoo wako* mtawajibika ikiwa kosa lolote litafanywa dhidi ya mahali patakatifu,+ na wewe na wana wako mtawajibika ikiwa kosa lolote litafanywa dhidi ya ukuhani wenu.+
18 Kisha Yehova akamwambia Haruni, “Wewe na wana wako na ukoo wako* mtawajibika ikiwa kosa lolote litafanywa dhidi ya mahali patakatifu,+ na wewe na wana wako mtawajibika ikiwa kosa lolote litafanywa dhidi ya ukuhani wenu.+