Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 28:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Nalo litakuwa kwenye paji la uso wa Haruni, naye Haruni atawajibika Mwisraeli anapotenda kosa dhidi ya vitu vitakatifu+ vinavyotakaswa na Waisraeli wakati wanapovitoa kuwa zawadi takatifu. Ni lazima bamba hilo likae sikuzote kwenye paji la uso wake, ili wapate kibali mbele za Yehova.

  • Mambo ya Walawi 22:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘Ni lazima watimize wajibu wao mbele zangu, wasije wakatenda dhambi kwa kukosa kutimiza wajibu huo na hivyo kufa kwa sababu walikuwa wakiuchafua. Mimi ni Yehova, ninayewatakasa.

  • Hesabu 18:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ni Walawi tu watakaotumikia katika hema la mkutano, na ndio watakaowajibika kwa ajili ya makosa yao.+ Ni sheria ya kudumu katika vizazi vyenu vyote kwamba hawapaswi kuchukua urithi miongoni mwa Waisraeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki