38 Nalo litakuwa kwenye paji la uso wa Haruni, naye Haruni atatoa jibu kwa ajili ya kosa linalofanywa juu ya vyombo vitakatifu,+ ambavyo wana wa Israeli watatakasa, yaani, zawadi zao zote takatifu; nalo litakaa kwenye paji la uso wake daima, ili kupata kibali kwa ajili yao+ mbele za Yehova.