Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 28:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Nalo litakuwa kwenye paji la uso wa Haruni, naye Haruni atatoa jibu kwa ajili ya kosa linalofanywa juu ya vyombo vitakatifu,+ ambavyo wana wa Israeli watatakasa, yaani, zawadi zao zote takatifu; nalo litakaa kwenye paji la uso wake daima, ili kupata kibali kwa ajili yao+ mbele za Yehova.

  • Mambo ya Walawi 22:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘Nao watashika wajibu wao kwangu, wasije wakachukua dhambi kwa sababu yake nao wakafa+ kwa sababu yake kwa sababu walikuwa wakivitia unajisi. Mimi ni Yehova ninayewatakasa wao.

  • Hesabu 18:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nao Walawi wenyewe wataendeleza utumishi wa hema la mkutano, nao ndio wanaopaswa kujibu kwa kosa lao.+ Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyenu vyote kwamba katikati ya wana wa Israeli hawapaswi kupata urithi.+

  • Waebrania 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yeye anaweza kuwatendea kwa kiasi wale wasiojua na wanaokosea kwa kuwa yeye pia amezungukwa na udhaifu wake mwenyewe,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki