Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Kwa nini hamkula lile toleo la dhambi katika mahali palipo patakatifu,+ kwa kuwa ni kitu kitakatifu zaidi naye amewapa ninyi mpate kujibu kwa ajili ya kosa la kusanyiko ili kufanya upatanisho kwa ajili yao mbele za Yehova?+

  • Mambo ya Walawi 22:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘Nao watashika wajibu wao kwangu, wasije wakachukua dhambi kwa sababu yake nao wakafa+ kwa sababu yake kwa sababu walikuwa wakivitia unajisi. Mimi ni Yehova ninayewatakasa wao.

  • Hesabu 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na Yehova akamwambia Haruni: “Wewe na wana wako na nyumba ya baba yako pamoja nawe mtajibu kwa sababu ya kosa dhidi ya patakatifu,+ na wewe na wana wako pamoja nawe mtajibu kwa sababu ya kosa dhidi ya ukuhani wenu.+

  • Isaya 53:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa sababu ya taabu ya nafsi yake yeye ataona,+ atatosheka.+ Kupitia ujuzi wake mtu mwadilifu, mtumishi wangu,+ atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu;+ naye mwenyewe atayachukua makosa yao.+

  • 2 Wakorintho 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yeye ambaye hakujua dhambi+ alimfanya kuwa dhambi+ kwa ajili yetu, ili sisi tuwe uadilifu wa Mungu+ kupitia yeye.

  • Waebrania 9:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 vivyo hivyo pia Kristo alitolewa+ mara moja kwa wakati wote ili kubeba dhambi za wengi;+ na mara ya pili+ atakapotokea+ itakuwa ni bila dhambi+ na kwa wale wanaomtazamia kwa bidii kwa ajili ya wokovu wao.+

  • 1 Petro 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yeye mwenyewe alichukua dhambi+ zetu katika mwili wake mwenyewe juu ya mti,+ ili tuachane kabisa na dhambi+ na kuishi kwa uadilifu. Na “kwa mapigo yake mliponywa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki