Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 23:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye atautikisa huo mganda huku na huku,+ mbele za Yehova ili kupata kibali kwa ajili yenu. Siku itakayofuata sabato kuhani atautikisa huku na huku.

  • Waroma 8:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Ni nani ambaye atahukumu kuwa na hatia? Kristo Yesu ndiye aliyekufa, ndiyo, afadhali zaidi kusema yeye ndiye aliyefufuliwa kutoka kwa wafu, aliye kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu, ambaye pia hutuombea.+

  • Waebrania 7:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa hiyo yeye anaweza pia kuwaokoa kwa ukamili wale wanaomkaribia Mungu kupitia yeye, kwa sababu yeye yuko hai sikuzote ili kuwaombea.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki