-
Yoshua 17:17, 18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Basi Yoshua akaiambia hivi nyumba ya Yosefu, yaani, kabila la Efraimu na Manase: “Ninyi ni wengi sana, nanyi mna nguvu nyingi. Hamtapata eneo moja tu,+ 18 eneo lenye milima litakuwa lenu pia.+ Ingawa ni msitu, ufyekeni, utakuwa mwisho wa eneo lenu. Mtawafukuza Wakanaani, hata kama wana nguvu na wana magari ya vita yenye miundu ya chuma.”*+
-