Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi, kulikuwa na mtu mmoja huko Sora+ wa kabila la Dani+ aliyeitwa Manoa.+ Mke wake alikuwa tasa.+

  • Waamuzi 13:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Baadaye mwanamke huyo akazaa mwana na kumpa jina Samsoni;+ na mvulana huyo akazidi kukua, na Yehova akaendelea kumbariki.

  • Waamuzi 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi akawapiga na kuwaua watu wengi, mmoja baada ya mwingine, kisha akashuka na kwenda kukaa pangoni katika mwamba wa Etamu.

  • Waamuzi 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Samsoni alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka 20 katika siku za Wafilisti.+

  • Waamuzi 16:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kisha Samsoni akasema hivi kwa sauti kubwa: “Acha nife* pamoja na Wafilisti!” Ndipo akasukuma nguzo hizo kwa nguvu zake zote, na nyumba hiyo ikawaangukia watawala na watu wote waliokuwemo.+ Kwa hiyo watu aliowaua wakati wa kifo chake walikuwa wengi kuliko aliowaua maishani mwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki