3 Yehova Mungu wenu ndiye anayevuka mbele yenu, naye mwenyewe atayaangamiza mataifa haya kutoka mbele yenu, nanyi mtayafukuza.+ Yoshua ndiye atakayewaongoza kuvuka,+ kama Yehova alivyosema. 4 Yehova atayatendea kama alivyowatendea Sihoni+ na Ogu,+ wafalme wa Waamori, na nchi yao, alipowaangamiza.+