Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:45, 46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Hivyo ndivyo vikumbusho, masharti, na sheria ambazo* Musa aliwapa Waisraeli baada ya kutoka Misri,+ 46 katika eneo la Yordani, kwenye bonde lililo ng’ambo ya Beth-peori,+ katika nchi ya Mfalme Sihoni wa Waamori, aliyekuwa akikaa Heshboni,+ ambaye Musa na Waisraeli walimshinda walipotoka Misri.+

  • Kumbukumbu la Torati 34:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kisha Musa mtumishi wa Yehova akafa huko katika nchi ya Moabu kama Yehova alivyosema.+ 6 Akamzika bondeni katika nchi ya Moabu, ng’ambo ya Beth-peori, na hakuna mtu anayejua kaburi lake liko wapi mpaka leo hii.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki