45 Hivyo ndivyo vikumbusho, masharti, na sheria ambazo Musa aliwapa Waisraeli baada ya kutoka Misri,+ 46 katika eneo la Yordani, kwenye bonde lililo ng’ambo ya Beth-peori,+ katika nchi ya Mfalme Sihoni wa Waamori, aliyekuwa akikaa Heshboni,+ ambaye Musa na Waisraeli walimshinda walipotoka Misri.+