Mambo ya Walawi 26:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Hayo ndiyo masharti, amri, na sheria ambazo Yehova aliwapa Waisraeli kwenye Mlima Sinai kupitia Musa.+ Kumbukumbu la Torati 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Sasa, enyi Waisraeli, sikilizeni masharti na sheria ambazo* ninawafundisha kushika, ili mwishi+ na kuingia kuimiliki nchi ambayo Yehova, Mungu wa mababu zenu, anawapa ninyi.
46 Hayo ndiyo masharti, amri, na sheria ambazo Yehova aliwapa Waisraeli kwenye Mlima Sinai kupitia Musa.+
4 “Sasa, enyi Waisraeli, sikilizeni masharti na sheria ambazo* ninawafundisha kushika, ili mwishi+ na kuingia kuimiliki nchi ambayo Yehova, Mungu wa mababu zenu, anawapa ninyi.