Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Sasa ikiwa mtaitii kabisa sauti yangu na kushika agano langu, hakika mtakuwa mali yangu ya pekee* kati ya mataifa yote,+ kwa maana dunia yote ni mali yangu.+

  • Kumbukumbu la Torati 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova Mungu wetu alifanya agano pamoja nasi kule Horebu.+

  • Kumbukumbu la Torati 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nilipopanda mlimani ili kupokea yale mabamba ya mawe,+ mabamba ya agano ambalo Yehova alifanya pamoja nanyi,+ nilikaa mlimani siku 40 mchana na usiku,+ sikula chakula wala kunywa maji.

  • Waebrania 9:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana Musa alipowatajia watu wote kila amri ya Sheria, alichukua damu ya wale ng’ombe dume wachanga na ya wale mbuzi, pamoja na maji, sufu nyekundu, na hisopo, na kukinyunyizia kile kitabu* na watu wote, 20 akisema: “Hii ndiyo damu ya agano ambalo Mungu amewaamuru mlishike.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki