Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “‘Msijichafue kwa kufanya jambo lolote kati ya mambo hayo, kwa maana mataifa ninayoyafukuza kutoka mbele yenu yamejichafua kwa mambo hayo yote.+

  • Mambo ya Walawi 18:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Msifanye mambo hayo ili nchi isiwatapike kwa sababu ya kuichafua kama itakavyoyatapika mataifa yaliyowatangulia.

  • Mambo ya Walawi 26:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “‘Na ikiwa hamtanisikiliza, nanyi mkinipinga kwa ushupavu licha ya mambo hayo,

  • Mambo ya Walawi 26:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mimi mwenyewe nitaifanya nchi yenu iwe ukiwa,+ na maadui wenu watakaoishi humo watashangazwa na hali yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki