Kutoka 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mlima Sinai ulifuka moshi kila mahali, kwa sababu Yehova alishuka juu yake katika moto;+ na moshi huo ulikuwa ukipaa kama moshi wa tanuru,* na mlima wote ulikuwa ukitetemeka kwa nguvu sana.+ Kutoka 20:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Hivi ndivyo utakavyowaambia Waisraeli, ‘Mmejionea wenyewe kwamba nimezungumza nanyi kutoka mbinguni.+
18 Mlima Sinai ulifuka moshi kila mahali, kwa sababu Yehova alishuka juu yake katika moto;+ na moshi huo ulikuwa ukipaa kama moshi wa tanuru,* na mlima wote ulikuwa ukitetemeka kwa nguvu sana.+
22 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Hivi ndivyo utakavyowaambia Waisraeli, ‘Mmejionea wenyewe kwamba nimezungumza nanyi kutoka mbinguni.+