-
Hesabu 35:22-24Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
22 “‘Lakini ikiwa alimsukuma au kumtupia kitu chochote na kumuua bila kukusudia au bila chuki na bila nia mbaya,*+ 23 au ikiwa alimwangushia jiwe bila kumwona na mtu huyo akafa, lakini hakuwa adui yake au hakukusudia kumdhuru, 24 basi watu wanapaswa kuhukumu kati ya muuaji na mtu anayelipiza kisasi cha damu, kwa kufuata sheria hizo.+
-