Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na Yehova akamwambia Musa: “Tazama! nitakujia katika wingu lenye giza, ili watu wasikie ninapozungumza nawe na ili wakuamini wewe pia sikuzote.” Kisha Musa akamwambia Yehova maneno ambayo watu walisema.

  • Kutoka 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mlima Sinai ulifuka moshi kila mahali, kwa sababu Yehova alishuka juu yake katika moto;+ na moshi huo ulikuwa ukipaa kama moshi wa tanuru,* na mlima wote ulikuwa ukitetemeka kwa nguvu sana.+

  • Matendo 7:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Huyo ndiye aliyekuwa kati ya kutaniko huko nyikani pamoja na malaika+ aliyezungumza naye+ kwenye Mlima Sinai na mababu zetu, naye akapokea maneno matakatifu yaliyo hai ili atupatie.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki