Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Msimwinamie mungu mwingine,+ kwa sababu mimi Yehova ninajulikana kuwa Mungu ninayetaka* watu waniabudu mimi peke yangu.* Naam, mimi ni Mungu ninayetaka watu waniabudu mimi peke yangu.+

  • Kumbukumbu la Torati 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni moto unaoteketeza,+ Mungu anayetaka watu wamwabudu yeye peke yake.+

  • Isaya 42:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mimi ni Yehova. Hilo ndilo jina langu;

      Simpi yeyote utukufu wangu,*

      Wala kuzipa sanamu za kuchongwa sifa yangu.+

  • Mathayo 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo Yesu akamwambia: “Nenda zako, Shetani! Kwa maana imeandikwa: ‘Yehova* Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu,+ na yeye peke yake ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki