14 Msimwinamie mungu mwingine,+ kwa sababu mimi Yehova ninajulikana kuwa Mungu ninayetaka* watu waniabudu mimi peke yangu.* Naam, mimi ni Mungu ninayetaka watu waniabudu mimi peke yangu.+
10 Ndipo Yesu akamwambia: “Nenda zako, Shetani! Kwa maana imeandikwa: ‘Yehova* Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu,+ na yeye peke yake ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’”+