Yoshua 24:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo niliwapa nchi ambayo hamkuipata kwa jasho lenu na majiji ambayo hamkujenga,+ nanyi mkakaa humo. Mnakula matunda ya mizabibu na ya mizeituni ambayo hamkupanda.’+ Zaburi 105:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Aliwapa nchi za mataifa;+Walirithi vitu ambavyo mataifa mengine yalikuwa yametaabika kuvipata,+
13 Kwa hiyo niliwapa nchi ambayo hamkuipata kwa jasho lenu na majiji ambayo hamkujenga,+ nanyi mkakaa humo. Mnakula matunda ya mizabibu na ya mizeituni ambayo hamkupanda.’+