Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Basi Yoshua akachukua nchi yote, kama Yehova alivyomwahidi Musa,+ Yoshua akawapa Waisraeli iwe urithi wao ili igawanywe kulingana na makabila yao.+ Nchi ikawa na amani bila vita.+

  • Yoshua 21:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Basi Yehova akawapa Waisraeli nchi yote ambayo aliapa kwamba angewapa mababu zao,+ wakaimiliki na kuishi humo.+

  • Nehemia 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Uliwapa falme na mataifa, ukawagawia kipande kwa kipande,+ nao wakamiliki nchi ya Sihoni,+ yaani, nchi ya mfalme wa Heshboni,+ na pia nchi ya Ogu+ mfalme wa Bashani.

  • Zaburi 78:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Aliyafukuza mataifa kutoka mbele yao;+

      Akawagawia urithi kwa kamba ya kupimia;+

      Aliyafanya makabila ya Israeli yakae katika makao yao.+

  • Matendo 13:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Baada ya kuyaangamiza mataifa saba katika nchi ya Kanaani, akawapa nchi yao iwe urithi wao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki