5 Mnapaswa kuiadhimisha siku hii katika mwezi huu, Yehova atakapowaleta katika nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori, Wahivi, na Wayebusi,+ nchi aliyowaapia mababu zenu kwamba atawapa ninyi,+ nchi inayotiririka maziwa na asali.+
8 Angalieni, nimeweka nchi hii mbele yenu. Ingieni mwimiliki nchi ambayo mimi Yehova niliapa kwamba nitawapa baba zenu, Abrahamu, Isaka,+ na Yakobo,+ wao pamoja na uzao wao* baada yao.’+