17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu, mwenye nguvu, na mwenye kuogopesha, asiyempendelea yeyote+ na hakubali rushwa.
7 Wafilisti wakaogopa, kwa sababu walisema: “Mungu amekuja kambini!”+ Basi wakasema: “Ole wetu, kwa maana jambo kama hili halijawahi kamwe kutokea! 8 Ole wetu! Ni nani atakayetuokoa kutoka katika mkono wa Mungu huyu mkuu? Huyu ndiye Mungu aliyewachinja Wamisri kwa kila aina ya mapigo nyikani.+