Hesabu 13:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova akamwambia Musa: 2 “Watume wanaume wakaipeleleze nchi ya Kanaani ninayowapa Waisraeli. Mtume mwanamume mmoja kutoka katika kila kabila la baba yake, kila mmoja wao anapaswa kuwa mkuu+ katika kabila lake.”+
13 Yehova akamwambia Musa: 2 “Watume wanaume wakaipeleleze nchi ya Kanaani ninayowapa Waisraeli. Mtume mwanamume mmoja kutoka katika kila kabila la baba yake, kila mmoja wao anapaswa kuwa mkuu+ katika kabila lake.”+