-
Hesabu 14:1-4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Basi Waisraeli wote wakalia kwa sauti na kutokwa na machozi usiku kucha.+ 2 Waisraeli wote wakaanza kumnung’unikia Musa na Haruni,+ na wote wakawalalamikia wakisema: “Laiti tungalifia katika nchi ya Misri, au laiti tungalifia hapa nyikani! 3 Kwa nini Yehova anatuleta kwenye nchi hii ili tuuawe kwa upanga?+ Wake zetu na watoto wetu watakuwa mateka.+ Je, si afadhali turudi Misri?”+ 4 Hata waliambiana: “Na tuchague kiongozi, turudi Misri!”+
-