Hesabu 13:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini watu wanaoishi katika nchi hiyo wana nguvu, na majiji yao yenye ngome ni makubwa sana. Tuliona pia wazao wa Anaki huko.+ Hesabu 13:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na huko tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki,+ wazao wa Wanefili, tulijiona kuwa kama panzi mbele yao, na ndivyo walivyotuona.”
28 Lakini watu wanaoishi katika nchi hiyo wana nguvu, na majiji yao yenye ngome ni makubwa sana. Tuliona pia wazao wa Anaki huko.+
33 Na huko tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki,+ wazao wa Wanefili, tulijiona kuwa kama panzi mbele yao, na ndivyo walivyotuona.”