Hesabu 13:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Hata hivyo, mambo ya hakika ni kwamba watu wanaokaa katika nchi hiyo ni wenye nguvu, na majiji yenye ngome ni makubwa sana;+ na, pia, wazao wa Anaki tuliwaona huko.+ Hesabu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 13:28 “Kila Andiko,” uku. 31
28 Hata hivyo, mambo ya hakika ni kwamba watu wanaokaa katika nchi hiyo ni wenye nguvu, na majiji yenye ngome ni makubwa sana;+ na, pia, wazao wa Anaki tuliwaona huko.+