1 Wafalme 8:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 “Na asifiwe Yehova, ambaye amewapa watu wake Waisraeli mahali pa kupumzikia, kama alivyoahidi.+ Hakuna ahadi yoyote kati ya ahadi zake zote nzuri ambazo aliahidi kupitia Musa mtumishi wake iliyokosa kutimia.+ 1 Mambo ya Nyakati 23:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana Daudi alikuwa amesema hivi: “Yehova Mungu wa Israeli amewapumzisha watu wake,+ naye atakaa Yerusalemu milele.+
56 “Na asifiwe Yehova, ambaye amewapa watu wake Waisraeli mahali pa kupumzikia, kama alivyoahidi.+ Hakuna ahadi yoyote kati ya ahadi zake zote nzuri ambazo aliahidi kupitia Musa mtumishi wake iliyokosa kutimia.+
25 Kwa maana Daudi alikuwa amesema hivi: “Yehova Mungu wa Israeli amewapumzisha watu wake,+ naye atakaa Yerusalemu milele.+