Mambo ya Walawi 11:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Msinifanye niwachukie kwa kula kiumbe yeyote kati ya viumbe hao, msijitie unajisi na kuwa watu wasio safi.+ Mambo ya Walawi 20:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ni lazima mtofautishe mnyama aliye safi na asiye safi na ndege aliye safi na asiye safi;+ msinifanye niwachukie kwa kula mnyama au ndege au kiumbe yeyote anayetambaa niliyewaambia kwamba si safi.+ Matendo 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Petro akajibu: “Hapana Bwana, kwa maana sijawahi kula kitu chochote kilicho najisi na kisicho safi.”+
43 Msinifanye niwachukie kwa kula kiumbe yeyote kati ya viumbe hao, msijitie unajisi na kuwa watu wasio safi.+
25 Ni lazima mtofautishe mnyama aliye safi na asiye safi na ndege aliye safi na asiye safi;+ msinifanye niwachukie kwa kula mnyama au ndege au kiumbe yeyote anayetambaa niliyewaambia kwamba si safi.+
14 Lakini Petro akajibu: “Hapana Bwana, kwa maana sijawahi kula kitu chochote kilicho najisi na kisicho safi.”+