Methali 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kimbelembele kinapokuja, aibu itafuata,+Lakini wenye kiasi wana hekima.+ Waebrania 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mtu yeyote ambaye ameipuuza Sheria ya Musa hufa bila huruma, kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.+
28 Mtu yeyote ambaye ameipuuza Sheria ya Musa hufa bila huruma, kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.+