Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 ‘Nilipokuwa nikiwaongoza kwa miaka 40 nyikani,+ nguo mlizovaa hazikuchakaa na viatu mlivyovaa havikuchakaa miguuni mwenu.+

  • Nehemia 9:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa miaka 40 uliwapa chakula nyikani.+ Hawakukosa chochote. Mavazi yao hayakuchakaa,+ wala miguu yao haikuvimba.

  • Zaburi 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yehova ni Mchungaji wangu.+

      Sitakosa chochote.+

  • Zaburi 34:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mwogopeni Yehova, ninyi nyote watakatifu wake,

      Kwa maana wale wanaomwogopa hawakosi chochote.+

      כ [Kaph]

      10 Hata wanasimba* wenye nguvu wamelemewa na njaa,

      Lakini wale wanaomtafuta Yehova hawatakosa chochote chema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki