Kumbukumbu la Torati 29:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ‘Nilipokuwa nikiwaongoza kwa miaka 40 nyikani,+ nguo mlizovaa hazikuchakaa na viatu mlivyovaa havikuchakaa miguuni mwenu.+ Nehemia 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa miaka 40 uliwapa chakula nyikani.+ Hawakukosa chochote. Mavazi yao hayakuchakaa,+ wala miguu yao haikuvimba. Zaburi 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova ni Mchungaji wangu.+ Sitakosa chochote.+ Zaburi 34:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwogopeni Yehova, ninyi nyote watakatifu wake,Kwa maana wale wanaomwogopa hawakosi chochote.+ כ [Kaph] 10 Hata wanasimba* wenye nguvu wamelemewa na njaa,Lakini wale wanaomtafuta Yehova hawatakosa chochote chema.+
5 ‘Nilipokuwa nikiwaongoza kwa miaka 40 nyikani,+ nguo mlizovaa hazikuchakaa na viatu mlivyovaa havikuchakaa miguuni mwenu.+
21 Kwa miaka 40 uliwapa chakula nyikani.+ Hawakukosa chochote. Mavazi yao hayakuchakaa,+ wala miguu yao haikuvimba.
9 Mwogopeni Yehova, ninyi nyote watakatifu wake,Kwa maana wale wanaomwogopa hawakosi chochote.+ כ [Kaph] 10 Hata wanasimba* wenye nguvu wamelemewa na njaa,Lakini wale wanaomtafuta Yehova hawatakosa chochote chema.+