Hesabu 20:20, 21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini bado akasema, “Hamtapita.”+ Ndipo mfalme wa Edomu akatoka ili kumshambulia akiwa na watu wengi na jeshi lenye nguvu.* 21 Basi mfalme wa Edomu akakataa kuwaruhusu Waisraeli wapite katika eneo lake; kwa hiyo Waisraeli wakageuka na kumwacha.+
20 Lakini bado akasema, “Hamtapita.”+ Ndipo mfalme wa Edomu akatoka ili kumshambulia akiwa na watu wengi na jeshi lenye nguvu.* 21 Basi mfalme wa Edomu akakataa kuwaruhusu Waisraeli wapite katika eneo lake; kwa hiyo Waisraeli wakageuka na kumwacha.+