Mwanzo 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake mwenyewe itamwagwa+ na mwanadamu, kwa maana Mungu alimuumba mwanadamu+ kwa mfano Wake. Kutoka 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Yeyote anayempiga mtu na kumuua lazima auawe.+ Hesabu 35:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Lakini ikiwa mtu amempiga mwenzake kwa kifaa cha chuma na kumuua, yeye ni muuaji. Lazima muuaji huyo auawe.+ Kumbukumbu la Torati 27:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “‘Amelaaniwa mtu anayemvizia na kumuua jirani yake.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’)
6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake mwenyewe itamwagwa+ na mwanadamu, kwa maana Mungu alimuumba mwanadamu+ kwa mfano Wake.
16 “‘Lakini ikiwa mtu amempiga mwenzake kwa kifaa cha chuma na kumuua, yeye ni muuaji. Lazima muuaji huyo auawe.+