Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake mwenyewe itamwagwa+ na mwanadamu, kwa maana Mungu alimuumba mwanadamu+ kwa mfano Wake.

  • Kutoka 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Yeyote anayempiga mtu na kumuua lazima auawe.+

  • Hesabu 35:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Lakini ikiwa mtu amempiga mwenzake kwa kifaa cha chuma na kumuua, yeye ni muuaji. Lazima muuaji huyo auawe.+

  • Kumbukumbu la Torati 27:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “‘Amelaaniwa mtu anayemvizia na kumuua jirani yake.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki