Mathayo 18:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini asipokusikiliza, nenda pamoja na mtu mmoja au wawili, ili kwa ushahidi wa* mashahidi wawili au watatu kila jambo lithibitishwe.+ Yohana 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Pia, katika Sheria yenu imeandikwa: ‘Ushahidi wa watu wawili ni wa kweli.’+ 2 Wakorintho 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hii ni mara ya tatu ambayo ninakuja kwenu. “Kila jambo linapaswa kuthibitishwa kwa ushahidi wa* mashahidi wawili au watatu.”+ 1 Timotheo 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Usikubali mashtaka dhidi ya mwanamume mzee,* isipokuwa kwa ushahidi wa mashahidi wawili au watatu.+
16 Lakini asipokusikiliza, nenda pamoja na mtu mmoja au wawili, ili kwa ushahidi wa* mashahidi wawili au watatu kila jambo lithibitishwe.+
13 Hii ni mara ya tatu ambayo ninakuja kwenu. “Kila jambo linapaswa kuthibitishwa kwa ushahidi wa* mashahidi wawili au watatu.”+
19 Usikubali mashtaka dhidi ya mwanamume mzee,* isipokuwa kwa ushahidi wa mashahidi wawili au watatu.+