Kumbukumbu la Torati 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Shahidi mmoja hawezi kufanya mtu mwingine ahukumiwe kwa kosa lolote au dhambi yoyote ambayo huenda ametenda.+ Jambo hilo linapaswa kuthibitishwa kwa ushahidi wa* mashahidi wawili au mashahidi watatu.+ 2 Wakorintho 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hii ni mara ya tatu ambayo ninakuja kwenu. “Kila jambo linapaswa kuthibitishwa kwa ushahidi wa* mashahidi wawili au watatu.”+ 1 Timotheo 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Usikubali mashtaka dhidi ya mwanamume mzee,* isipokuwa kwa ushahidi wa mashahidi wawili au watatu.+
15 “Shahidi mmoja hawezi kufanya mtu mwingine ahukumiwe kwa kosa lolote au dhambi yoyote ambayo huenda ametenda.+ Jambo hilo linapaswa kuthibitishwa kwa ushahidi wa* mashahidi wawili au mashahidi watatu.+
13 Hii ni mara ya tatu ambayo ninakuja kwenu. “Kila jambo linapaswa kuthibitishwa kwa ushahidi wa* mashahidi wawili au watatu.”+
19 Usikubali mashtaka dhidi ya mwanamume mzee,* isipokuwa kwa ushahidi wa mashahidi wawili au watatu.+