Hesabu 35:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “‘Yeyote anayemuua mtu* anapaswa kuuawa kama muuaji+ ikiwa kuna ushahidi kutoka kwa mashahidi;+ lakini hakuna mtu atakayeuawa* kwa ushahidi wa mtu mmoja tu. Kumbukumbu la Torati 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa ushahidi wa* mashahidi wawili au watatu+ yule anayepaswa kufa atauawa. Hapaswi kuuawa kwa ushahidi wa shahidi mmoja.+
30 “‘Yeyote anayemuua mtu* anapaswa kuuawa kama muuaji+ ikiwa kuna ushahidi kutoka kwa mashahidi;+ lakini hakuna mtu atakayeuawa* kwa ushahidi wa mtu mmoja tu.
6 Kwa ushahidi wa* mashahidi wawili au watatu+ yule anayepaswa kufa atauawa. Hapaswi kuuawa kwa ushahidi wa shahidi mmoja.+