Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 35:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “‘Yeyote anayemuua mtu* anapaswa kuuawa kama muuaji+ ikiwa kuna ushahidi kutoka kwa mashahidi;+ lakini hakuna mtu atakayeuawa* kwa ushahidi wa mtu mmoja tu.

  • Kumbukumbu la Torati 19:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Shahidi mmoja hawezi kufanya mtu mwingine ahukumiwe kwa kosa lolote au dhambi yoyote ambayo huenda ametenda.+ Jambo hilo linapaswa kuthibitishwa kwa ushahidi wa* mashahidi wawili au mashahidi watatu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki