Kumbukumbu la Torati 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa ushahidi wa* mashahidi wawili au watatu+ yule anayepaswa kufa atauawa. Hapaswi kuuawa kwa ushahidi wa shahidi mmoja.+ Kumbukumbu la Torati 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Shahidi mmoja hawezi kufanya mtu mwingine ahukumiwe kwa kosa lolote au dhambi yoyote ambayo huenda ametenda.+ Jambo hilo linapaswa kuthibitishwa kwa ushahidi wa* mashahidi wawili au mashahidi watatu.+ Waebrania 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mtu yeyote ambaye ameipuuza Sheria ya Musa hufa bila huruma, kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.+
6 Kwa ushahidi wa* mashahidi wawili au watatu+ yule anayepaswa kufa atauawa. Hapaswi kuuawa kwa ushahidi wa shahidi mmoja.+
15 “Shahidi mmoja hawezi kufanya mtu mwingine ahukumiwe kwa kosa lolote au dhambi yoyote ambayo huenda ametenda.+ Jambo hilo linapaswa kuthibitishwa kwa ushahidi wa* mashahidi wawili au mashahidi watatu.+
28 Mtu yeyote ambaye ameipuuza Sheria ya Musa hufa bila huruma, kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.+