Kutoka 21:23-25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini kifo kikitokea, basi ni lazima mlipe uhai kwa uhai,*+ 24 jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu,+ 25 alama ya moto kwa alama ya moto, jeraha kwa jeraha, pigo kwa pigo. Mambo ya Walawi 24:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mfupa uliovunjika kwa mfupa uliovunjika, jicho kwa jicho, jino kwa jino, atajeruhiwa kama alivyomjeruhi mwenzake.+ Mathayo 5:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Mlisikia kwamba ilisemwa: ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’+
23 Lakini kifo kikitokea, basi ni lazima mlipe uhai kwa uhai,*+ 24 jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu,+ 25 alama ya moto kwa alama ya moto, jeraha kwa jeraha, pigo kwa pigo.
20 Mfupa uliovunjika kwa mfupa uliovunjika, jicho kwa jicho, jino kwa jino, atajeruhiwa kama alivyomjeruhi mwenzake.+