Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 31:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini Waisraeli waliwachukua mateka wanawake wa Midiani na watoto wao. Walichukua pia wanyama wao wote, naam, mifugo yao yote, na mali zao zote.

  • Kumbukumbu la Torati 20:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 na kwa hakika Yehova Mungu wenu atalitia mikononi mwenu, nanyi mtamuua kwa upanga kila mwanamume aliye ndani ya jiji hilo. 14 Hata hivyo, mtajichukulia wanawake, watoto, mifugo, na kila kitu kilicho jijini, nyara zake zote,+ nanyi mtakula nyara za maadui wenu ambazo Yehova Mungu wenu amewapa ninyi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki