39 Basi Isaka baba yake akamwambia:
“Tazama, makao yako yatakuwa mbali na udongo wenye rutuba duniani, na mbali na umande wa mbingu.+ 40 Na kwa upanga wako utaishi,+ nawe utamtumikia ndugu yako.+ Lakini utakaposhindwa kuvumilia, hakika utaivunja nira yake kutoka shingoni mwako.”+