Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 25:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yehova akamwambia: “Mataifa mawili yamo tumboni mwako,+ na mataifa mawili yatatenganishwa kutoka ndani yako;+ na taifa moja litakuwa na nguvu kuliko lingine,+ na mkubwa atamtumikia mdogo.”+

  • 2 Samweli 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Aliweka kambi za kijeshi huko Edomu. Aliweka kambi za kijeshi katika nchi yote ya Edomu, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi.+ Yehova alimpa Daudi ushindi* popote alipoenda.+

  • Malaki 1:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Nimewaonyesha ninyi watu upendo,”+ asema Yehova.

      Lakini mnauliza: “Umetuonyeshaje upendo?”

      “Je, Esau hakuwa ndugu ya Yakobo?”+ asema Yehova. “Lakini nilimpenda Yakobo, 3 nami nikamchukia Esau;+ nikafanya milima yake kuwa ukiwa+ na urithi wake nikawaachia mbwamwitu wa nyikani.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki