Kutoka 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ukimwona punda wa mtu anayekuchukia amelemewa na mzigo na kuanguka, usimpuuze na kwenda zako. Unapaswa kumsaidia kufungua mnyama huyo.+ Mambo ya Walawi 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo dhidi ya wana wa watu wako, ni lazima umpende mwenzako kama unavyojipenda mwenyewe.+ Mimi ni Yehova. Luka 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Akajibu: “‘Lazima umpende Yehova* Mungu wako kwa moyo wako wote kwa nafsi* yako yote kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote’+ na ‘umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’”+ Wagalatia 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi, tukiwa bado na nafasi,* acheni tuwatendee watu wote mema, na hasa wale ambao ni ndugu zetu katika imani.
5 Ukimwona punda wa mtu anayekuchukia amelemewa na mzigo na kuanguka, usimpuuze na kwenda zako. Unapaswa kumsaidia kufungua mnyama huyo.+
18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo dhidi ya wana wa watu wako, ni lazima umpende mwenzako kama unavyojipenda mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.
27 Akajibu: “‘Lazima umpende Yehova* Mungu wako kwa moyo wako wote kwa nafsi* yako yote kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote’+ na ‘umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’”+
10 Basi, tukiwa bado na nafasi,* acheni tuwatendee watu wote mema, na hasa wale ambao ni ndugu zetu katika imani.