Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 20:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “‘Ifuatayo ni sheria kuhusu mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine: Mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwenzake lazima auawe; mwanamume huyo na mwanamke aliyefanya naye uzinzi lazima wauawe.+

  • Kumbukumbu la Torati 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Wala usifanye uzinzi.+

  • 1 Wathesalonike 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kwamba mnapaswa kuwa watakatifu+ na mjiepushe na uasherati.*+

  • 1 Wathesalonike 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mtu yeyote hapaswi kuvuka mipaka inayofaa na kumdhulumu ndugu yake katika jambo hilo, kwa sababu Yehova* ndiye hutoa adhabu kwa mambo yote haya, kama tulivyowaambia mapema na pia kuwaonya kwa uthabiti.

  • Waebrania 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kisiwe na unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati* na wazinzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki