35 Yeftha alipomwona, akararua mavazi yake na kusema, “Ole wangu, binti yangu! Umenivunja moyo,* kwa kuwa nimesababisha uende mbali. Nimetoa ahadi kwa Yehova, na siwezi kuivunja.”+
24 Lakini wanaume wa Israeli walikuwa chini ya mkazo mkali siku hiyo, kwa kuwa Sauli alikuwa amewaapisha hivi: “Alaaniwe mtu yeyote atakayekula chakula chochote* kabla ya jioni na kabla sijalipiza kisasi dhidi ya maadui wangu!” Kwa hiyo hakuna yeyote miongoni mwao aliyekula chakula chochote.+