4 “‘Au mtu akiapa kufanya jambo fulani bila kufikiri—jambo lolote lile, jema au baya—lakini baadaye atambue kwamba ameapa bila kufikiri, atakuwa na hatia atakapojua jambo hilo.*+
2 Mwanamume akimwekea Yehova nadhiri+ au akiapa+ kuweka nadhiri ya kujinyima kitu fulani,* hapaswi kuvunja ahadi yake.+ Anapaswa kufanya kila jambo aliloapa kufanya.+