Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 23:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Ukiweka nadhiri kwa Yehova Mungu wako,+ usikawie kuitimiza.+ Kwa maana Yehova Mungu wako kwa hakika atakudai; la sivyo, utakuwa umetenda dhambi.+

  • Zaburi 116:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nitamtimizia Yehova nadhiri zangu

      Mbele ya watu wake wote.+

  • Zaburi 119:106
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 106 Nimeweka kiapo, nami nitakitimiza,

      Kwamba nitazishika hukumu zako za uadilifu.

  • Mhubiri 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu,+ usikawie kuitimiza, kwa maana hapendezwi na wapumbavu.+ Unapoweka nadhiri, itimize.+

  • Mathayo 5:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “Tena mlisikia kwamba zamani watu waliambiwa: ‘Usikose kutimiza kiapo chako,+ unapaswa kutimiza nadhiri zako kwa Yehova.’*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki