Mhubiri 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+ Mhubiri Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:4 Mnara wa Mlinzi,9/15/1987, uku. 25
4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+