Hesabu 30:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mwanamume akimwekea Yehova nadhiri+ au akiapa+ kuweka nadhiri ya kujinyima kitu fulani,* hapaswi kuvunja ahadi yake.+ Anapaswa kufanya kila jambo aliloapa kufanya.+ Zaburi 66:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nitaingia katika nyumba yako nikiwa na dhabihu nzima za kuteketezwa;+Nitatimiza nadhiri zangu kwako+
2 Mwanamume akimwekea Yehova nadhiri+ au akiapa+ kuweka nadhiri ya kujinyima kitu fulani,* hapaswi kuvunja ahadi yake.+ Anapaswa kufanya kila jambo aliloapa kufanya.+
13 Nitaingia katika nyumba yako nikiwa na dhabihu nzima za kuteketezwa;+Nitatimiza nadhiri zangu kwako+