3 na kumtolea Yehova dhabihu inayochomwa kwa moto kutoka kati ya mifugo au kundi—iwe ni dhabihu ya kuteketezwa+ au dhabihu ya kutimiza nadhiri ya pekee au toleo la hiari+ au dhabihu mnayotoa wakati wa sherehe zenu za majira,+ ili kumtolea Yehova harufu inayompendeza+—